"Mwaka" Тексти пісень
«Mwaka» має тексти на суахілі мові.
Значення "Mwaka" походить з суахілі мови і наразі не конвертовано в переклад англійською.
#mwaka #walterchilambo #gospelmusic
Wimbo huu ukawe Baraka kwa kila mmoja ambaye amepata Neema ya kuwa HAI,ukafurahie utukufu wa Mungu na kumpa sifa na heshima,wimbo unaitwa Mwaka.
.
MWAKA LYRICS
Intro
Naumaliza Mwaka hivyo
Na nauanza mwaka huo ×2
Jamani mwaka huo
Jamani mwaka huo
Verse 1
Asante Mungu umenilinda
January to December
Umeniepusha na mengi hata sijafa
Kweli Mungu unanipenda
Niliomba kidogo
VIKUBWA
Mi na mizigo yangu
UMEBEBA
Japo wapo walonicheka baba
Wakati naanza plan za maisha wakanikatisha tamaa
Mungu si Selemani
Ona amenipa na mimi
Ukistaajabu ya Musa
Basi utayaona ya Firauni
Walifunga kushoto (walifunga kushoto)
Kafungua kulia (kafungua kulia)
Mungu amenitetea (Mungu amenitetea)
Wamechanganyikiwa (wamechanganyikiwa)
CHORUS
Naumaliza mwaka hivyo oohh
Na nauanza mwaka huo oohh ×2
Basi piga kelele / aaeehh aaeehh
Kama bado una hema we / aaeehh aaeehh
Wengi walitamani kuwa kama wewe / aaeehh aaeehh
Aaaeeehhh ..../aaeehh aaeeehhh
VERSE 2
Nimependelewa
kati ya walio hai nimehesabiwa
Na namshukuru Mungu
Kwa yote ..hata kwa yale hajayatenda aaaahhh
Kanipa Nyumba
Kanipa Gari,kanipa kazi
Kanipa ndoa,kanipa watoto
Amenipa amani,ameniheshimisha
Mungu si Selemani
Ona amenipa na mimi
Ukistaajabu ya Musa
Basi utayaona ya Firauni
Walifunga kushoto (walifunga kushoto)
Kafungua kulia (kafungua kulia)
Mungu amenitetea (Mungu amenitetea)
Wamechanganyikiwa (wamechanganyikiwa)
CHORUS
Naumaliza mwaka hivyo oohh
Na nauanza mwaka huo oohh ×2
Basi piga kelele / aaeehh aaeehh
Kama bado una hema we / aaeehh aaeehh
Wengi walitamani kuwa kama wewe / aaeehh aaeehh
Aaaeeehhh ..../aaeehh aaeeehhh
Jamani Mwaka
aaeehh
Unaisha na unaanza
aaeehh
Sema Asante we kama
aaeehh
Kuna wengine hawapo
aaeehh
WALTER CHILAMBO SONG WRITER